




TSh 550,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Tabata kinyerezi
Prince Realtor
Verified documentsApartments inauzwa LOCATION: Tabata kinyezi mwisho Bei Tsh milion 550 maongezi yapo Jumla kuna apartments 8 vyumba 2 vya kulala,chumba kimoja master, sebule, jiko,public toilet zipo 5 2. Kuna chumba, sebule choo na jiko zipo 3 kila apartment ina jitegemea kwa umeme na maji, yaani kila apartment ina luku yake ya umeme na mita yake ya maji Ukubwa wa kiwanja SQM 1500 Umiliki: Hati miliki safi toka wizara ya ardhi KWA KUPANGISHA BEI ZAKE NI; Vyumba 2 vya kulala, chumba kimoja master, jiko, sitting room, public toilet KODI NI 300,000/= kwa mwezi chumba, sebule, choo na jiko KODI NI 200,000/= kwa mwezi nyumba zipo mahali pazuri ulinzi wa kutosha Gharama ya Kupelekwa site kuonyeshwa Nyumba tsh elfu 50,000/=
TSh 550,000,000
Safety tips
Similar properties