




TSh 2,000,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Mikocheni , 11 months ago
Mikocheni B

Peter D
Verified documentsNyumba inajitegemea yenyewe ndani ya fence, nyumba hii inafaa kwa ofisi au kwa kuishi, ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule kubwa, dining, jiko na public toilet. Pia upande wa nyuma ya nyumba kuna servant quarter yenye chumba na sebule, nyumba ni kubwa na ina nafasi kubwa ya kutosha kwa nnje (parking space ni kubwa).
TSh 2,000,000 per month
Safety tips
Similar properties