




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
korogwe

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning jiko na public toilet ndani. Nyumba bado mpya fence ndio wanamalizia kujenga. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji yake. karibu sana nyumba ipo mazingira mazuri yanayofikika kwa urahisi.
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties