




TSh 150,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ukonga , 2 years ago
Nyumba inapangishwa Lk 150 Ukonga Majohe Chuo Rada

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule jiko master pablic stoo ndani ya fensi inapangishwa laki Moja na nusu Kwa mwezi mmoja, malipo miezi mitatu na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Majohe Chuo Rada jirani na stendi, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii.
TSh 150,000 per month
Safety tips
Similar properties