




TSh 21,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 3 years ago
mpiji magoe

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Ipo mtaa mzuri na huduma za kijamii zinapatikana, umeme upo na maji yanapatikana. Karibu sana usiogope bei MAONGEZI YAPO
TSh 21,000,000
Safety tips
Similar properties