




TSh 100,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 2 years ago
Nyumba ya chumba na sebule inapangishwa laki Moja Kwa mwezi.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya chumba kimoja na sebule jiko stoo na pablic ndani ya fensi, inapangishwa laki Moja tu kwa mwezi mmoja, malipo miezi minne na kuedelea na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Mazizini location Mazizini. Ipo mtaa mzuri Sana, huduma zote za kijamii zipo karibu.
TSh 100,000 per month
Safety tips
Similar properties