




TSh 70,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 3 years ago
njia 4

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule, dinning, kitchen na public toilet ndani. Nyumba ipo ndani ya fence inayoingiza gari na njia yake ni rafiki mpaka kwenye nyumba kwa aina yoyote ya usafiri. Nyumba ina umeme na inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji
TSh 70,000,000
Safety tips
Similar properties