




TSh 140,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 4 years ago
Toangoma kigamboni
Prince Realtor
Verified documentsHii nyumba ipo kigambani toangoma la dar es Salam wilaya ya kigambani Nyumba hii ina uzwa bei rais Sana tsh mil (140) tu Hii nyumba ina eneo kubwa square meter (600) ina hattie miliki Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina sitting room na daining room ina jiko na public toilet ina store na maji Na uwani kuna kigolofa kikali Sana Kina vyumba viwili na sebule na choo Hii nyumba ina Ac full ina kisima cha maji Pia ame sambaza maji kwa majilani Hii nyumba ipo kalibu sana na bar bar kuu ya rami. Ni nyumba ya tatu tu kutoka rami
TSh 140,000,000
Safety tips
Similar properties