




TSh 200,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
amani

Peter D
Verified documentsNyumba ina chumba, sebule, jiko na choo ndani, inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji. Nyumba ipo ndani ya fence inayoingiza gari na parking ipo, nyumba inafikika kirahisi kwa usafiri wa aina yoyote maana njia yake ni rafiki malipo ni miezi 6 bila kusahau kodi ya mwezi moja ya dalali pindi unapolipia nyumba
TSh 200,000 per month
Safety tips
Similar properties