




TSh 150,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ukonga , 2 years ago
Nyumba ya vyumba 3 inapangishwa laki 1.5 Majohe Rada.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule dining jiko stoo master pablic ndani ya fensi inapangishwa laki Moja na nusu Kwa mwezi mmoja malipo miezi mitatu na mwezi mmoja wa madalali ipo Ukonga Majohe Rada jirani na stendi, ipo mtaa safiii na tulivu, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hiyo/ Nyeme.
TSh 150,000 per month
Safety tips
Similar properties