




TSh 70,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 14 days ago
Mbezi malamba mawili
Peter D
Verified documentsNyumba inauzwa mbezi malamba mawili dk 5 tu kutoka barabara ya rami bei million 70 tu sifa za nyumba vyumba 3 vya kulala kimoja ni master bedroom sebule kubwa sana jiko kubwa zuri public toilet dining room nyumba ipo ndani ya fensi umeme upo maji safi ya dawasco yapo ndugu ukubwa wa eneo sqm 500 kuoneshwa site 30k
TSh 70,000,000
Safety tips
Similar properties