




TSh 550,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 3 years ago
Goba ya mbezi

Dalali Selebobo
Verified documentsNyumba mpya kubwa ya familia inayojitegemea yenyewe kwenye fensi inapangishwa nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #dining #jiko kubwa la kisasa #store #public toilet #paving #parking kubwa #maji dawasa yanatoka ndani masaa 24 nyumba hii ipo mbezi goba ya mwanzo na kutoka goba road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu ilipwe laki 5 na nusu tuu kwa mwezi malipo ya miezi 6 na kuendelea njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 550,000 per month
Safety tips
Similar properties