




TSh 1,000,000,000
Dar es Salaam , Temeke , Kigamboni , 9 hours ago
Kigamboni

Mzige Real Estate
Verified documentsEneo la Ekari Moja lenye Nyumba na mabanda ya mifugo pamoja na baadhi ya sehemu alifanya kilimo cha Mahindi Eneo limezungukwa na Barabara tatu za mtaa ambapo lina mageti 4 ya kuingilia Eneo liko Meter 300 kufika lami kubwa ya Barabara kuu Eneo lipo Karibu na Bandari Kavu mbili (Inland Container Depot) Eneo Lina Visima na Tank kubwa za kuhifadhia maji. Eneo linafaa Kwa Ujenzi wa Apartment, Villa, Light Industry, ICD n.k
TSh 1,000,000,000
Safety tips
Similar properties