tre.gif
Eneo La Eka 4.9 Linauzwa Kigamboni in Kigamboni
Eneo La Eka 4.9 Linauzwa Kigamboni in Kigamboni
Eneo La Eka 4.9 Linauzwa Kigamboni in Kigamboni
Eneo La Eka 4.9 Linauzwa Kigamboni in Kigamboni
Eneo La Eka 4.9 Linauzwa Kigamboni in Kigamboni

TSh 1,500,000,000

Dar es Salaam , Temeke , Kigamboni , 1 year ago

Eneo La Eka 4.9 Linauzwa Kigamboni

Property address

Muongozo

Haven Real Estate

Verified documents

Fish Farm

Unfurnished

Fairly Used

24010 sqm

*eneo lenye ekari 4.9 linauzwa kigamboni, mwongozo* *distance* eneo liko umbali wa mita 50 kutoka barabara kuu ya lami ya kutoka kigamboni kupitia mjimwema-geza-kimbiji hadi buyuni -eneo lina private road inayogusa lami yenye upana wa mita 10 -eneo limezungushiwa ukuta pande tatu eneo lina mageti 2 yote yanapitika kwa njia ya gari *ndani ya eneo kuna vitu vifuatavyo* 1.nyumba kubwa ya kisasa yenye vyumba 4 vyote master sebule 2 dining na jiko kubwa. 2. nyumba ya wafanyakazi yenye vyumba 3 vyote master na sebule 3. jiko kubwa la nje na store 4. mabanda 3 makubwa ya kufugia kuku 5. mabwawa 3 ya kufugia samaki 6. vibanda 4 vya walinzi 7. kisima cha maji 8. umeme upo -document: eneo limepimwa ila hati ipo kwenye mchakato wa kutoka -ukubwa wa sqmtrs 24,010 *bei shilingi bilioni 1.5 maongezi yapo*

TSh 1,500,000,000

Safety tips

  • Avoid paying inspection fees
  • If possible, go for viewing with friends
  • Check everything carefully to make sure it's what you need
  • Don't pay in advance if it's impossible to move in immediately

Similar properties