




TSh 1,500,000,000
Dar es Salaam , Temeke , Kigamboni , 1 year ago
Muongozo

Haven Real Estate
Verified documents*eneo lenye ekari 4.9 linauzwa kigamboni, mwongozo* *distance* eneo liko umbali wa mita 50 kutoka barabara kuu ya lami ya kutoka kigamboni kupitia mjimwema-geza-kimbiji hadi buyuni -eneo lina private road inayogusa lami yenye upana wa mita 10 -eneo limezungushiwa ukuta pande tatu eneo lina mageti 2 yote yanapitika kwa njia ya gari *ndani ya eneo kuna vitu vifuatavyo* 1.nyumba kubwa ya kisasa yenye vyumba 4 vyote master sebule 2 dining na jiko kubwa. 2. nyumba ya wafanyakazi yenye vyumba 3 vyote master na sebule 3. jiko kubwa la nje na store 4. mabanda 3 makubwa ya kufugia kuku 5. mabwawa 3 ya kufugia samaki 6. vibanda 4 vya walinzi 7. kisima cha maji 8. umeme upo -document: eneo limepimwa ila hati ipo kwenye mchakato wa kutoka -ukubwa wa sqmtrs 24,010 *bei shilingi bilioni 1.5 maongezi yapo*
TSh 1,500,000,000
Safety tips
Similar properties