




TSh 55,000,000 Outright Price
Dodoma Rural , Dodoma , Bahi , 15 hours ago
Bahi

Dalali Selebobo
Verified documentsInauzwa: kitalu cha madini ya dhahabu – bahi, dodoma fursa nzuri ya uwekezaji kwenye madini ya dhahabu! inauzwa primary mining licence (pml06283dom) yenye haki ya kufanya utafiti na uchimbaji wa dhahabu (gold) katika eneo la mpalanga, wilaya ya bahi, mkoa wa dodoma. maelezo muhimu ya kitalu aina ya leseni: primary mining licence (pml) namba ya leseni: pml06283dom madini: dhahabu (gold) eneo: mpalanga, bahi district, dodoma ukubwa wa eneo: takribani hekta 9.94 uhalali wa leseni: miaka 7 kuanzia tarehe ya kutolewa leseni imetolewa mwaka: 2026 eneo limeainishwa rasmi kwa coordinates za kijiografia zilizo kwenye leseni fursa kwa wawekezaji kitalu hiki kinaweza kuwa fursa nzuri kwa: wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kampuni za uchimbaji wa madini watu wanaotafuta eneo la kuendeleza mradi ...
TSh 55,000,000 Outright Price
Safety tips
Similar properties