




TSh 55,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Kimara temboni
Prince Realtor
Verified documentsNyumba nzuri kubwa ya familia inauzwa na ipo sehemu nzuri sana nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa #maji dawasa yapo ya kutosha #parking #ipo ndani ya fensi bei ni 55,000,000/= inauzwa milioni 55 maongezi yapo ukubwa wa eneo ni 20/18 meters documents:- hati safi ya mauziano halali kutoka serikali ya mtaa nyumba hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji au bodaboda na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 2 upo kwenye nyumba njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 55,000,000
Safety tips
Similar properties