




TSh 200,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 3 years ago
madale

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani pia kwa nyuma ina nyumba yenye chumba na choo chake. Inafikika kutoka barabara kuu ya lami karibu sana maongezi yapo.
TSh 200,000,000
Safety tips
Similar properties