




TSh 150,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 months ago
Kimara mwisho
Peter D
Verified documentsApartment ina chumba kimoja cha kulala, sebule na choo. Ipo ndani ya fence yenye parking, Inajitegemea luku yake yenyewe na maji yana flow chooni. Umbali wa km2.5 kutoka mwendokasi usafiri upo wa bajaji na daladala.
TSh 150,000 per month
Safety tips
Similar properties