




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara mwisho

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment mpya kubwa ya kisasa inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa sana #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking !!zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na zipo mbalimbali na hii moja ndio inapangishwa ilipwe laki 4 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara mwisho upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka kituo kikuu cha mwendo kasi kimara mwisho hadi kufika kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji au daladala sh 700 na ukishuka tuu kwenye usafiri unatembea dk 2 upo kwenye nyumba apartment hii ni mpya na ipo sehemu nzuri kabisa ndugu mteja
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties