




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara bucher

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri kubwa ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 25/09/2023 apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba kikubwa kizuri #sebule kubwa #jiko kubwa lina makabati mzuri #choo kizuri cha ndani kwa ndani #store #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #aircondition #parking !!fensi ipo imejengwa nusu bado kumalizia ila kuna walinzi wanalinda na usalama ni wa uhakika ilipwe laki 2 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara bucha kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 4-5 kwa miguu kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia kodi ya mwezi mmoja ya udalali ndugu mteja apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 25/09/2023 kuona ndani endapo mpangaji atakuwepo ni ruksa kabisa na malipo yanapokelewa
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties