




TSh 600,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 hours ago
Stop over
Peter D
Verified documentsApartment kali sana hii ina pangishwa vyumba vitatu vya kulala kimoja master sebule kubwa public toilet jiko makabati umeme luku yako maji mita yako na yana tililika ndani full ac heater ya maji moto free wi-fi kodi 600,000x6 ipo kimara stop over upande wa kushoto kama unaenda mjini umbali km 1.2 boda 1000 mpaka getini ipo ndani ya fensi parking space kubwa full peving blocks kuona nyumba service charge ni 20,000 na ukipenda nyumba ni kodi ya mwezi mmoja kwa dalali pindi ulipiapo nyumba
TSh 600,000 per month
Safety tips
Similar properties