




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 4 years ago
korogwe

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet, nyumba ipo ndani ya fence inayoingiza gari na inajitegemea yenyewe kwenye fence hivyo luku pamoja na mita ya maji ni yakwako mwenyewe... karibu sana mazingira ni rafiki na usafiri upo wa kutosha na pia kama unausafiri wako mwenyewe unafika mpaka ndani ya nyumba
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties