




TSh 130,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Madale mivumoni

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ipo ndani ya fence inajitegemea yenyewe na parking ya kutosha, huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi na njia yake inapitika vizuri kutoka barabara kuu ya lami mpaka kwenye nyumba
TSh 130,000,000
Safety tips
Similar properties