




TSh 95,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
Kwa msuguri

Peter D
Verified documentsNyumba ya kisasa inauzwa kwa bei chee na bonge la uwanja wake ikiwa na frame zake 2 kwa mbele... nyumba hii ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji vyote vipo kwenye nyumba... karibu sana maongezi yapo
TSh 95,000,000
Safety tips
Similar properties