




TSh 450,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 10 months ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa na zipo mbili tuu kwenye fensi moja na zipo mbali mbali apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #dining #jiko kubwa la kisasa #public toilet #luku na mita ya maji inajitegemea #zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa #garden apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh elfu 1 tuu kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utamlipa dalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 450,000 per month
Safety tips
Similar properties