




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 8 months ago
Pugu Kwa Mstafa

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 4 sebule dining jiko stoo master pablic ndani ya fensi, inapangishwa laki tatu kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Pugu Kwa Mstafa, ipo mtaa mzuri Sana wa kishua, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii/Romeni John/Kona.
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties