




TSh 85,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kinondoni , 2 years ago
Mbezi
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwa ipo mbezi kwa msuguri ipo kwenye fensi nyumba ya kisasa mwenyewe anaishi humo maji umeme kila kitu kipo kuna na fremu moja nje ukitoka kituoni umbali wake ni kilomita 3 hadi sayti usafiri bajaji 700 boda 1500 kupelekwa kuona 20000 bei ya kuuza milioni 85 maongezi yapo nyumba ina vyumba vya kulala vitatu kimoja masta seble kubwa sana jko choo na bafu pabiliki barabara nzuri inafikika ukubwa wa eneo sgumt 430
TSh 85,000,000
Safety tips
Similar properties