




TSh 85,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 4 years ago
njia panda
Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, kitchen, store na public toilet ndani. Nyumba inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji yake. Nyumba haiko mbali na barabara na kuna sehemu ya parking na inafikika kirahisi kwa usafiri wa aina yoyote. Usiogope bei maongezi yapo karibu sana.
TSh 85,000,000
Safety tips
Similar properties