




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa ipo jirani na barabara inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #garden nzuri #parking kubwa #aircondition #inayopangishwa ni ya gorofa ya kwanza ilipwe laki 4 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 4 tuu kwa miguu apartment hii inakuwa wazi kuanzia tarehe 30/12/2022 kuona na kulipia ni ruksa kabisa
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties