




TSh 250,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 1 year ago
Mbagala chamazi
Prince Realtor
Verified documentsNyumba ya kifahari inauzwa – chamazi, temeke! bei ya ofa: tzs milioni 250 tu! hii si nyumba tu, ni ndoto inayoishi! tajiri, usilale—lipia leo! kwenye kiwanja kimoja – unapata nyumba mbili za kisasa! 1 nyumba kubwa ya chini: vyumba 4 vya kulala – vyote ni master (kila chumba kina choo chake!) sebule kubwa ya kifamilia – nafasi ya starehe dining room – sehemu rasmi ya familia kula jiko la kisasa kabisa – kwa mapishi ya hadhi choo cha nje kwa matumizi ya wageni tiles safi za kisasa & madirisha ya aluminium – finishing ya hadhi ya juu! 2 nyumba ya pili ni ghorofa (servant quarter): ghorofa ya chini: chumba + sebule ghorofa ya juu: master bedroom kubwa + sebule ya kifalme perfect kwa wageni wa heshima, wafanyakazi au hata airbnb! umeme tayari | maji yapo – hamia kesho bila usumbufu! ⸻
TSh 250,000,000
Safety tips
Similar properties