




TSh 38,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 3 years ago
malamba 2

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Ipo umbali wa kutembea dakika 10 kwa mguu kutoka barabara kuu ya lami. Karibu sana maongezi yapo
TSh 38,000,000
Safety tips
Similar properties