




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kinondoni , 2 years ago
Makumbusho

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji. Ipo ndani ya fence na kwenye fence zipo apartment 2 tu. Na mwendo wa dakika 5 kutoka stand ya makumbusho
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties