



TSh 15,000,000 per Plot
Arusha

Haven Real Estate
Verified documents*1,137 acres farm for sale at Msitu wa Mbogo in Arusha* *Distance* 15 km Kutoka lami na ni 18 km to KIA International Airport *Location* Shamba limegusa Barabara kuu ya kwenda Mererani -Shamba limegusa Barabara Mbughuni inayoenda kuweka lami -Mto Nduruma Seasonal unapita shambani *Shamba lote limelimwa mazao mbalimbali na sehemu imetumika kufanya ufugaji* -Shamba limelimwa mazao ya muda mfupi, Mahindi, Alizeti, Mihogo, Maharage, Migomba, Machungwa, Papai, Litches, Miembe, Mboni Kaburi ni Multi purpose for all crops -Shamba lina miti ya Mitiki, Eucalyptus, Giricida n.k *Uzuri wa Shamba unaweza kufunga Nyuki pia kwa ajili ya asali Kuna Msitu wa asili* -Shamba lina Godowns na Nyumba ya Wafanyakazi na Meneja -Shamba lina Visima 2 vya maji -Plot size 1,137 acres -Document: Title Deed *Bei kwa kila ekari ni shilingi milioni 15*
TSh 15,000,000 per Plot
Safety tips
Similar properties