




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 19 days ago
Kimara suks

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 400,000/= x 6 bila kusahau pesa ya tahadhari kodi ya mwezi mmoja apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala na vyumba vyote ni master bedroom #sebule kubwa sana #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #heater za maji moto #paving #parking kubwa bei ni 400,000/= x 6 pesa ya tahadhari mwezi mmoja apartment hizi zipo kimara suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 tuu kwa miguu kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties