




TSh 420,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri mpya za kisasa zinapangishwa bei ni 420,000/=x 6 apartment hizi zina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa lenye makabati #public toilet #store #feni zinafungwa nyumba vyote #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #paving #parking !! mafundi wapo kazini kwa kasi ya 5g na itakua tayari kuhamia kuanzia tarehe 01/04/2024 lipia mapema uhamie mapema bei ni 420,000/= x 6 ilipwe laki 4 na elfu 20 kwa malipo ya miezi 6 tuu apartment hizi kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 700 au bodaboda sh elfu 1 na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba angalizo:- apartment hizi zitakua tayari kuhamia kuanzia tarehe 01/04/2024 wahi ndugu mteja nyumba zimebakia chache
TSh 420,000 per month
Safety tips
Similar properties