




TSh 55,000,000
Dar es Salaam , Ilala , 7 days ago
Ukonga

Charles Njoka
Verified documentsNyumba nzuri ambayo ina vyumba 6 nyumba kubwa na nyumba ya pembeni ina vyumba 3 jumla vyumba 9 ipo rada chuo ukonga nyumba ipo karibu na stand na ina mazingira mazuri kwaajili ya makazi na ina barabara ya kutokea stand kuu ya mabasi ya kwendea mjini ni kama dk 6 tu. nyumba ipo 2km kutoka airport nyumba imezungukwa na huduma zote za kijamii na ina sehemu nzuri na salama uwanja wake ni mkavu na nyumba haina longolongo 500sqm
TSh 55,000,000
Safety tips
Similar properties