




TSh 120,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 1 year ago
Mbezi kwa msuguri
Prince Realtor
Verified documentsInauzwa inauzwa nyumba kubwa ya kifamilia inauzwa location: kwa msuguri umbali kutoka stend dakika 13 kwa miguu sifa zake: vyumba 4 vya kulala kimoja master sebule kubwa sana dining table jiko zuri public toilet ndani pia pembeni kuna nyumba ya vyumba vitatu packing space kubwa uwanjani paving block ukubwa wa eneo mita 28 kwa 28 bei milioni 120
TSh 120,000,000
Safety tips
Similar properties