




TSh 600,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 8 months ago
Kimara bucha

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri mpya za kisasa zinapangishwa bei ni 600,000/= x 6 mafundi wapo kazini wanamalizia hatua za mwisho kung'arisha nyumba apartment hizi mpya zinasifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #public toilet #ulinzi,,mtu wa garden na usafi wa mazingira ni bure kabisa ndugu mteja #zipo apartment 4 mpya ndugu mteja na zimebaki chache mbio zako tuu hapa #kuna walinzi masaa 24 na bure kabisa ndugu mteja #garden nzuri bei ni 600,000/= x 6 bila kusahau pesa ya tahadhari (caution money) shilingi laki 3 apartment hizi zipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 8 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi 30k
TSh 600,000 per month
Safety tips
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Bungalow for Rent in kinondoni
Bungalow for Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Bungalow for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Bungalow for Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Similar properties