




TSh 600,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 6 months ago
Kimara bucha

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri mpya za kisasa zinapangishwa bei ni 600,000/= x 6 mafundi wapo kazini wanamalizia hatua za mwisho kung'arisha nyumba apartment hizi mpya zinasifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #public toilet #ulinzi,,mtu wa garden na usafi wa mazingira ni bure kabisa ndugu mteja #zipo apartment 4 mpya ndugu mteja na zimebaki chache mbio zako tuu hapa #kuna walinzi masaa 24 na bure kabisa ndugu mteja #garden nzuri bei ni 600,000/= x 6 bila kusahau pesa ya tahadhari (caution money) shilingi laki 3 apartment hizi zipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 8 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi 30k
TSh 600,000 per month
Safety tips
Similar properties