




TSh 22,000,000
Dar es Salaam , Ilala , 1 year ago
Msongola
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwa bei kitonga kabisa kwa milion 22 tu unaipata. inapatikana msongola shule, wilaya ya ilala dar es salaam. ________________ wahi boss haikai hii ___________________ maelezo ya nyumba: _________________________ vyumba 3 vya kulala – 1 ni master bedroom sebule ya kawaida. choo cha public nyumba ipo karibu kabisa na barabara kubwa ni karibu na shule ya msingi na sekondari hivyo unaweza kupangisha. ina board yote, na tukikubalina unamaliiziwa vitu vilivyobaki. umeme upo | maji yapo tayari mahali: _________________________ msongola wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam – tanzania
TSh 22,000,000
Safety tips
Similar properties