




TSh 400,000,000 Outright Price
Zanzibar , Mjini Magharibi , 10 months ago
Mjini Magharibi

Haven Real Estate
Verified documentsEneo linauzwa Zanzibar maeneo Kwerekwe. Fly Over Kutoka barabarani line ya 3. Kama unatokea Magomeni kwenda fuoni ni Mkono wa kushoto mkabala na gorofa kubwa jipya linalo jengwa. Ni mji unao kuwa kwa kasi yanajengwa magorofa marefu kwa sasa. Ukubwa wa eneo 900sqmt. Ndani kuna nyumba moja ya kuvunja barabara ipo mpaka kwenye eneo Full document, title deed. Whatsapp +
TSh 400,000,000 Outright Price
Safety tips
Similar properties