




TSh 100,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 3 years ago
Kifulu

Peter D
Verified documentsNyumba ni mpya nzuri mno maana imejengwa kisasa na ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule ya kisasa, dinning ya kisasa, jiko lenye makabati, choo cha public kizuri, parking space ya kutosha, garden, full AC na fensi. Nyumba ipo mtaa mzuri na infikika kwa urahisi kwa aina yoyote ya usafiri... Karibu sana maongezi yapo
TSh 100,000,000
Safety tips
Similar properties