




TSh 700,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 months ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 650,000/= x 6 bila kusahau pesa ya tahadhari kodi ya mwezi mmoja 650k apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vya kulala vikubwa kati ya hivyo vyumba 2 ni master bedroom kubwa na vyumba vyote vinamakabati ndani #sebule kubwa #jiko kubwa zuri (open kitchen) #public toilet #parking kubwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea bei ni 650,000/= x 6 apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 7 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 700,000 per month
Safety tips
Mini Flat for Rent
1 Bedroom Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Flat for Rent in kinondoni
Flat for Rent in dar-es-salaam
Mini Flat for Rent in kinondoni
Mini Flat for Rent in dar-es-salaam
1 Bedroom Flat for Rent in kinondoni
1 Bedroom Flat for Rent in dar-es-salaam
1 Bedroom Houses & Apartments For Rent in kinondoni
1 Bedroom Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Similar properties