




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 4 months ago
Kimara bucha

Dalali Selebobo
Verified documents350k 350k apartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 350,000/= x 6 bila kusahau pesa ya tahadhari shilingi laki 2 tuu apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba master bedroom kubwa #sebule kubwa sana #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea ulinzi,,garden na mtu wa mazingira bei ni elfu 20 kila mwezi apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 8 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba utamlipa dalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties