




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara baruti

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment kubwa nzuri ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 05/04/2024 au mapema zaidi ya hapo bei ni 350,0000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo # vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #dining #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking #garden bei ni 350,000/=x 6 ilipwe laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 apartment hii ipo kimara baruti upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda shilingi elfu moja hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja kuna pesa ya tahadhari (caution money) shilingi laki 2 tuu ilipwe sambamba na kodi ya nyumba
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties