




TSh 700,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , 3 years ago
Changanyikeni

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ipo ndani ya fence yenye nafasi kubwa sana na inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji yake yenyewe. Mazingira yake ni salama na ni rafiki kwa usafiri wa aina yoyote maana geti linatazama lami Kwenye fence zipo nyumba 2 na kila moja inajitegemea kivyake... karibu sana
TSh 700,000 per month
Safety tips
Similar properties