




TSh 120,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Magufuli
Aisha Rashid
Verified documentsHapa kuna nyumba 2 ndani ya fence moja ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na piblic toilet ndani. Hii ya ghorofa ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Nyumba ipo mtaa mzuri na inafikika kwa urahisi kwa usafiri wowote pia ni dakika 10 kwa miguu kutoka magufuli stand. Karibu sana
TSh 120,000,000
Safety tips
Similar properties