




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 9 months ago
Kimara bucha

Dalali Selebobo
Verified documentsApartments nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 350,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba kikubwa #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #choo kizuri cha ndani kwa ndani (public toilet) #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #aircondition imefungwa sebuleni na chumbani #paving block #public toilet #parking kubwa !!zipo apartment 3 tuu na hii moja ya chini ndio inapangishwa bei ni 350,000/= × 6 apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 tuu kwa miguu kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties