




TSh 8,000,000 per Plot
Kibaha

Haven Real Estate
Verified documentsShamba linauzwa lipo mkoa wa pwani, wilaya ya kibaha mjini , maeneo ya miswe umbali wa km 1 kutoka barabara kuu ya mlandizi bagamoyo inayotazamiwa kujengwa kwa kiwango cha lami. ukubwa wa shamba ni - hekali 77 limepimwa hati miliki matumizi - comercial bei milioni 8,000,000 @ heka. - linauzwa shamba lote. mdoe
TSh 8,000,000 per Plot
Safety tips
Similar properties