




TSh 700,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsNew classic apartment for rent at kimara temboni apartment hizi mpya zipo 5 tuu kwenye fensi moja na zipo za aina mbili tofauti na kila apartment inajitegemea kwa kila kitu sehemu 'a' #vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #public toilet #heater ya maji moto #air condition imefungwa sebuleni na chumba cha master #makabati ya nguo yanafungwa vyumbani #garden + paving #parking kubwa bei ni tsh 700,000/= x 6 sehemu 'b'
TSh 700,000 per month
Safety tips
Similar properties