




TSh 65,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Magufuli

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ipo ndani ya fence iliyokamilika na ina parking ya kutosha, nyuma ina nafasi kama unavyoiona na migomba, pia mbele kuna frame ya duka na ndani kuna paving blocks zimeizunguka nyumba nzima. Karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO
TSh 65,000,000
Safety tips
Similar properties